This site offers materials from Bende, Katavi Region, Tanzania
 IRC & LingDy 2
ILCAA, Tokyo University of Foreign Studies

Home Introduction Tusahule Sibhende
Dictionary

Unit 11  Suula jye ekumi na jimwi

Kamughenyi kaa kuseesya / Desturi za kusalimiana


Kukawaida uufwe Bhabhende kwiposya kwetu ni “kuseesya.” Mutwana ghaaseesya mukulu. Bhukulu tempaka ghaabha na nkote, lekeehi. Ninga mukeekulu akoobhwele ghaaseesya mutwana. Maana ni kulonda nfuuke bhojili.

Kwiseesya kulino mumabhufi. Tekubha kila Mubhende ghoghwasanga no kuseesya tue. Aajeehi. Mwana akooseesyo osye, nyina, mukwabho, nyinakulu, nyinasenge, mukulu ghwaje na bhandi bhengi bhamusunfile nfuuke.

Namuna jya kuseesya fisumbeene. Kubha noolikuseesya so bhukwe ni tofauti no kuseesyo oso no onyoko. Kubhukwe bhakootuusyo mwegho, ghwanasulika ne nkohe. Lakini kubhafyeji bhakooseesya tukawaidae. Ninga noohaghaleele filyoohile tue. Lakini kubhukwe kusikama ni lazima. Kubha naali uso ao so bhukwe, mwakahwe nfuku bhusila kwilola, jiloobhidi ughwe mwana upakile. Kupakila ni kukosa nkoso sinabha ibhili, itatu, kundi ghwalaala. Ghulya mughoosi mukulu na agho ghaaja kukosa. Kundi ghaajitabhuka mulahilo ghwake, ghooghu kanya kupakila. Mukeema akoosikama. Kundi ghaakosa lumwie, kundi ghaasimika tukumo hansi. Na bhakoopakilwa nkana ni bhaghoosi. Bhakeeme ehi. Bheene bhakooseesibhwa tue.

Milahilo jyetu jili namba na namba. Kulonda mabhufi bhoghali. Kobhe Bhatinta bhakoolahila “Mukwala.” Bhasyamba ni “Luhinda,” Bhaghalabha bheene ni “Mulonga.” Na bhandi bhengi. Kunoonwe teeti bhandi bhalikuja bhaaleka kuseesya, kusabhaaabhu jya nsonyi. Kughubhaha kusekwa ne sindi kabhila. Kumwi no kutenda bhalikulola nsonyi. Sumbwa ghalifundiisya Sisukuma kuliko Sibhende.


Kwa kawaida sisi Wabende, salamu zetu ni “kuseesya” (kusalimu). Mtoto anasalimu mkubwa. Mkubwa siyo mpaka awe na mvi, hapana. Hata mkubwa anaweza akasalimu mtoto. Maana ni kufuata uzao ulivyo.
Kusalimiana kuko kwenye ukoo siyo kwamba kila ukimkuta Mbende unasalimu tu. Hapana. Mtoto anasalimu baba yake, mama yake, mjomba wake, babu yake, shangazi yake, kaka yake na wengine wengi, wanaomzidi umri.
Namna za kusalimu zinatofautiana. Kama unasalimu baba mkwe wako ni tofauti na kusalimiana na baba na mama yako. Ukweni unatuliza moyo, unainamisha kope. Lakini kwa wazazi unasalimia tu kawaida. Hata kama umesimama ni sawa tu. Lakini ukweni kupiga magoti ni lazima. Kama ni baba yako au baba mkwe wako, mmemaliza siku bila kuonana, itabidi wewe mtoto “upakile.” “Kupakila” ni kupiga makofi kama mara mbili au tatu. Halafu unalala chini. Yule mzee mkubwa naye anaanza kupiga makofi. Halafu anaitika “mulahilo” wake, yule mwenye “kupakila”. Mwanamke anapiga magoti. Halafu anapiga makofi mara moja, halafu anasimika vidole chini. Na wanaopakilwa sana ni wanaume. Wanawake hapana. Wenyewe wanawasalimu tu.
Milahilo yetu ni ya aina mbalimbali kutegemea na koo zilivyo. Kama Watinta wanalahila “Mukwala.” Wasyamba ni “Luhinda.” Wagalaba wenyewe ni “Mulonga.” Na wengine wengi. Kwa sasa hivi, kwa sababu ya aibu, wengine wanaacha desturi hii ya kusalimiana. Kwa kuogopa kuchekwa na kabila jingine. Wanaona bora wajifunze Kisukuma kuliko Kibende.

Kuseesya / Kusalimia



Maghambo mahya /Msamiati

-ghubhaha -ogopa
-haghalala -simama
hansi chini
iibhufi, mabhufi ukoo, koo
-iposya -salimiana
kamughenyi hadithi
kanya kupakila mdogo anayelaza mwili chini kwa ajili ya kusalimu
kobhe kama
-kosa nkoso -piga makofi
-lahila -itikiwa na “mulahilo”
-lola nsonyi -ona aibu
lumwi mara moja
mufyeji, bhafyeji mzazi, wazazi
namba na namba aina mbalimbali
nfuuke uzao
ninga, linga hata
nkote mvi
-pakila -laza mwili kwa ajili ya kusalimu
-seesya -salimu kwa Kibende
-sekwa na bhantu -chekwa na watu
-sikama -piga magoti
-simika -simamisha vidole kwa ajili ya kusalimu kwa mwanamke
sinabha inawezekana
so bhukwe baba mkwe wako
-sulika nkohe -inamisha kope
sumbwa bora
-tuusya mwegho -tuliza moyo
 


 

Copyright 2016 (c) Yuko ABE, All rights reserved.