Unit 5 |
Suula jya bhutaanu  |
|
Malwele / Magonjwa |
|
Malwele ghaa bhatwana / Magonjwa ya Watoto
|
Ghooghu mwana ghaakafuukanga no bhulwele. Alina Nsuko ne Ngili. Ahensile kufelwa kwa mufumo akakolelwe. Kubha no kuhensa kumanya, mukunge mumutumba. Kubha naalino bhoosa, kabhili ne myansi mumutwe kutananala. Halafu ne mpuka mundaa kujughuma, manya ni jyejo ndwala. Fela bhwangu kwa mufumo.
|
Huyu mtoto alizaliwa na ugonjwa. Ana “nsuko” na “ngili.” Anatakiwa kupelekwa kwa mganga wa kienyeji akatibiwe. Kama unataka kujua mwangalie mwilini. Kama ana manyoya na mishipa ya kichwani imesimama. Halafu na chango tumboni linaunguruma, ujue ni huo ugonjwa. Peleka haraka kwa mganga.
|
|
|
Malwele ghaa sighoosi "Musipa" / Magonjwa ya wanaume "Mshipa"
|
Musipa ni bhulwele bhukoolwala bhaghoosi. Musipa ghulina nsila singi. Hali mpuka, ao kuhala. Handi hali Musipa ghwa kukwesa ao kusoosya. Ghooghu ghwa kusoosya kubha ghwabha no mukosi, ghwalwala iihagha. Ghwa kutansya ghwene teghukootinsya kwihagha. Handi ghukoojighala masu ao kunia. Handi fyonse hamwi. Kubha ghwatinda kukolelwa ghwafwa.
|
“Mshipa” ni ugonjwa wanaougua wanaume. Mshipa una njia nyingi. Pana chango au kuharisha. Pengine pana mshipa wa kuvuta au kuteremka. Huu wa kushuka kama ukiwa na mkosi, unaugua busha. Wa kupandisha wenyewe haukawizi kuua. Pengine unafunga mkojo au kunya. Pengine vyote pamoja. Kama ukikawia kutibiwa unakufa. |
|
Malwele ghaa sikeema "Lyamunda"
/ Magonjwa ya wanawake "Lyamunda"
|
Ndwala jya Lyamunda jikoolwala bhakeema. Jyene ni mundaa kukokota. Yaani mwabha kobhe muli sintu sili kupala. Na agho jihensilwe kukolelwa bhwangu. Handi bhakookolela bhanasilika. Hakukabha nasikalwali kabhili.
|
Ugonjwa wa “Lyamunda” huwa wanaugua wanawake. Wenyewe ni tumbo kukokota.
Yaani (tumboni) mnakuwa kama mna kitu kinaparua. Nao unatakiwa kutibiwa
haraka. Pengine wanatibia kwa kuzindika. Ili asiugue tena. |
|
|
|
Masiina ghaa malwele /Majina ya magonjwa
|
bhuhele |
upele |
bhulwele, malwele |
ugonjwa |
bhusasi |
kichaa |
-fuma kafita |
-tokwa jasho |
-fuma malaso |
-tokwa na damu |
-fimba |
-vimba |
-hala |
-harisha |
iihagha |
busha |
iihima |
ugonjwa wa watoto, dalili yake ni homa |
kahweka |
ambizi ya minyoo |
kalembe, katuuta |
surua |
-lwala |
-wa mgonjwa, -umwa |
mahunsi |
mafua |
maleelia |
malaria |
munoghe |
damu inayotoka puani |
mpungu |
degedege |
mulwele, bhalwele |
mgonjwa, wagonjwa |
ndolobho |
malale |
ngili |
mtoto njiti |
nsuko |
mtoto aliyezaliwa bila nywele mwilini, mtoto njiti |
-sala |
wehuka |
silonda, filonda |
wehuka kidonda |
sisekwas |
kilema, mwenye ulemavu |
|
|
Fitambo /Mwili
|
|
bhujenje |
vinyweleo, nywele za mwili |
kughulu, maghulu |
mguu, miguu |
iijungo, majungo |
goti, magoti |
liinso, meenso |
jisho, macho |
iikosi |
shingo |
lukasa |
kiganja |
iikumo, makumo |
kidole, vidole |
luko |
kisogo |
iikumo nsilo |
kidole gumba |
lupambala |
unyayo |
iitako, matako |
tako, matako |
mankwaha |
makwapa |
iitamba, matamba |
paja |
mughongo |
mugongo |
iitundu |
kifua |
mulomo |
mdomo |
iitwi, matwi |
sikio, masikio |
munyonyo |
kitovu |
kakookola |
kiwiko |
mutwe, mitwe |
kicha, vichwa |
kasafu |
migu wachini kuanzia goti |
ndaa |
tumbo |
kasinsila |
kisigino |
nyele |
nywele |
kakosogolo |
kifundo |
nyiindo |
pua |
kughoko, mabhoko |
mkono, mikono |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Copyright 2016 (c) Yuko ABE, All rights reserved. |