This site offers materials from Bende, Katavi Region, Tanzania
 IRC & LingDy 2
ILCAA, Tokyo University of Foreign Studies

Home Introduction Tusahule Sibhende
Dictionary

Unit 3  Suula jya bhutatu

Kwibhuula / Kujitambulisha

Yasini ni Mubhende, no Yuko munyeyi


Yasini: Uune ndi Yasini mwana Masyaka. Nfumiile kuKatuma. Ila nfuukiile kuMwese. Uune ndi Mubhende. No oghwe ni kabhila sii?
Yuko: Uune ndi Yuko. Nfumiliile kuJapani. Ndi Mujapani. Nanjisa kunu kwifundiisya Sibhende. Uune ndi mwanafuunsi ghwa bhutamaduuni. Ntehile nkana kutembelela kuTansania. 
Yasini: Uli mwana ghanyi? (Uli mwana ghwake ghanyi?) 
Yuko: Ndi mwana Tada. Ulikukola mulimo sii? 
Yasini: Uune mulimo ghwane ndi fundi ghwa kulima. Ukootenda Sibhende? 
Yuko: Ee. Nkootenda fise. 
 

Yasini ni Mbende, na Yuko ni mgeni.
Yasini: Mimi ni Yasini, mtoto wa Masyaka. Ninatoka Katuma. Ila nimezaliwa Mwese. Mimi ni Mbende. Na wewe ni kabila gani?
Yuko: Mimi ni Yuko. Ninatoka Japani. Mimi ni Mjapani. Nimekuja huku kujifunza Kibende. Mimi ni mwanafunzi wa utamaduni. Napenda sana kutembelea Tanzania.
Yasini: Wewe ni mtoto wa nani?
Yuko: Mimi ni mtoto wa Tada. Unafanya kazi gani?
Yasini: Kazi yangu ni kilimo. Unaongea Kibende?
Yuko: Ee, naongea kidogo.


Magambo mahya /Msamiati

fise kidogo
-fuma, -fumila -toka, -tokea
-fuuka, -fyalwa -zalia
-jitilwa -itwa
-sahula ongea
-jinsi, -manya -jua


Mifaano jindi /Mifano mingine

 Ukuliile hee? / Ghwakakulilange ehee?     Ulikuwa wapi? 
 Kumwenyu ni hee?     Kwenu ni wapi? 
 Njitilwe Yasini.    Naitwa Yasini. 
 No oghwe ujitilwe ghanyi?     Wewe unaitwa nani? 
 No oghwe uli ghanyi?     Wewe ni nani? 
 Ukoosahula Sibhende?     Unaongea Kibende? 
 Mbona nsikwinsi? / Mbona nsikumanyile?     Mbona sikujui? 


Masiina ghaa milimo /Majina ya kazi

Ghumwi Bhengi  
munigha-nfuka  bhanigha-nfuka  mkulima, mshikajembe (wa-)  
fuundi bhaafuundi  fundi seremala, gari n.k. (ma-) 
muhiighi / mujeghe  bhahiighi / bhajeghe   mwindaji (wa-) 
mutunga-nkoko  bhatunga-nkoko   mfugaji wa kuku (wa-) 
mutunga-mbusi  bhatunga-mbusi   mfugaji wa mbuzi (wa-) 
mutunga-ng'ombe  bhatunga-ng’ombe   mfugaji wa ng’ombe (wa-) 
mubhumba-nkono / mubhunfi  bhabhumba-nkono /bhabhunfi   mfinyanzi (wa-) 
musulusya  bhasulusya   muuzaji wa mitaani (wa-) 
mulofi  bhalofi   mvuvi (wa-) 
mwami  bhaami   mtemi (wa-) 
mutwale  bhatwale   mtemi mdogo (wa-) 
mufumo  bhafumo   mganga wa kienyeji (wa-) 
mukota  bhakota   mkunga (wa-) 
mualimu  bhaalimu   mwalimu (wa-) 
mwanafuunsi  bhaanafuunsi   mwanafunzi (wa-) 


Copyright 2016 (c) Yuko ABE, All rights reserved.