This site offers materials from Bende, Katavi Region, Tanzania
 IRC & LingDy 2
ILCAA, Tokyo University of Foreign Studies

Home Introduction Tusahule Sibhende
Dictionary

Unit 12  Suula jye ekumi ne ebhili

Kamughenyi kaa Manywele ghaa muKabhende / Hadithi za Wanyama wa kabende


Umunu mumwetu musihugho sya Kabhende muli manywele mengi nkana. Noonwe teghe matwi, imilombe. Mwense muhulikiisye. Muli Nsofu, ghwe enywele ekulu. Mwabha Nsimba, ghwe enywele ekali. Mumanywele ghonse, muli Ngwe, muli Nimba na ghandi manywele. Ghondootenda haaho heefo, ne nsyahwa ghaagha.

Nsofu ni inywele likoohiighwa ne bhantu. No kubha ghwalihagha moomo mwisala, sintu sya kwila nyinambele ni kutanda kulughamba no ghoogho mulambo. Noolina kambi kaa bhwingi kubhili. Kundi ghwajitubhula sibhambila gho mukujihosya, jisikufunkili. Bhusila kwila teetyo jyakufunkila. Kundi kubha mwajakufika halugho, homwakafumanga mukuja mwisala mukuhiigha, bheenoobhe bhakookufisa. Kundi bhaafika hamwenyu. Bhaabhalemba kubha ti “mwineetu ghaakafwa na Nsofu.” Kundi bhakoobha bhakufuulanga ne myenda, ughwe ghwakeehaghanga. Jyejeli myenda, kundi bhaabhaha bhamughana ghoobhe bhaaja kulila. Ikunka, kundi bhaabhahumbusya. Bhaatwala jilya myenda jyobhe, bhakuleetela koofiseeme. Kundi bhaakutwala mpaka hamwenyu. Bhalikujimba kalwimbo kaa bhujeghe. Mukwila teetyo, gho mukukutunduula mukuli ghwa jilya Nsofu, jyoghwajihaghanga. Kundi hoolookabha ghwakomenkanyia mpija, bhoolookakaatika bhajeghe, bhakupande bhujeghe bhwa jilya Nsofu. Kundi haaho ghwanabha mujeghe mwinaabho. Jilya Nsofu, meeno ghaaje ghwakaghasonsya kubhwami. No onyene ghaakuhako ngooho.

Kuluhande lwa Nsimba jyene, tukoobha tujighubheehe kujiihagha. Bhukoohela bhojyabha nkali. Kubha nooli mwisala, noolikuhiigha ghandi manywele mahole. Kundi jyakutipukanyia. Haaho sanga haabhula bhundi bhufundi, ni kujipigha. Kubha ghwajihagha, ghwajiputa mutwe ne nsala syaje ne nsabha, kundi ghwakasonsya kubhwami. No onyene mwami ghaakusonsya sintu syo syonse. Ngwe na agho ni bhoobhoe, kobhe Nsimba. Ghaagho manywele ghonaahwa kutenda. Gho manywele ghaa mpunda mwisenga lya Kabhende. Gho kuluhande lwa bhaami na bhajeghe bhaa munu muKabhende.

Noonwe nanjisa kuluhande lwa manywele mahole. Na agho ghaliho mengi, kubha nambala ti, ghonsengatende, bhufuku bhunasya. Kentende mase. Hali Mbogho, jyejo Mbogho bhahiighi bhakoojiitako “Nteleka matako kusifunfwe.”* Bhukoohela bhojikoobhakilimisya. Ila ni nyama nsogha nkana munkono, kubha noolikujilya. Kuli Nimba, na agho jilina mibheebhe. Mukujipigha mpaka nooli mujeghe mutangala. Sanga ghwajipigha, na aghoe ni nyama nsogha mukujilya. Ghaagha ghandi ghaasiibha gheene ni ghasila mibheebhe. Ila kubha ghwajihagha inywele ekulu lyosinakobhola kutwala ghwengwa moomo mwisala. Ni kuleka ghwalisilika. Kundi ghwakeeta bhantu, bhakufunanila kuseeha. Kubha ghwaleka bhusila kusilika, teghwakalisangeho. Ulookasanga tuho mubhwibhwie. Lyalibhwanga.

Bhahiighi bhaa munu muKabhende bhengi ni Bhabhende. Bhukoohela uufwe Bhabhende ni mila jyetu. Syakughangalila kumuhiighi ni kumanya kulegha musagha, kubha naalikubheeta. Leke alole mukulikoleelela iinywele. Bhusila teetyo tyanalipigha.

Manywele ghakooliibhwa ghalifikaafika. Bhukoohela uufwe Bhabhende, tuline fihugho fikaafika. Kobhe Mbeegha, Ntwigha, Nkanga ne Nsuuja. Bhaaghwe tebhakooghalya. Ni ghaa musilo kumwabho.

Bhaaghalabha na agho, tukamukasa ni musilo ghwabho. Na bhandi bhoobhoe, mpaka fihugho fyonse fya Kabhende fyahwa. Haaha mbwene nankwisya. Tefinahwa fyonse kubhalangulwa.

* “Nteleka matako kusifunfwe”
Mwindaji anapanda mti wa “Sifunfwe” kwa kufukuzwa na nyati. Yaani, nyati ni mnyama mkali wa kumwinda.



Humu nchini mwetu Kabende mna wanyama wengi sana. Sasa sikilizeni niwaambie wasikilizaji wote. Mna tembo, ndiye mnyama mkubwa. Mna simba, ndiye mnyama mkali kuliko wanyama wote, mna chui, pofu na wanyama wengine. Nitakayosema hapa chini, ngoja nimalize haya.
Tembo ni mnyama anayewindwa na watu. Na kama ukimuua humo porini, kitu cha kwanza cha kufanya ni kupanda juu ya huo mzoga. Uwe na kisu cha makali pande zote mbili. Halafu ulitoboe tumbo lake kwa kutoa hewa ya mzoga wake. Unafanya hivi ili kuipoozesha, isikufuate mwilini. Bila kufanya hivi itakudhuru. Halafu kama mkikaribia kufika nyumbani, wenzio wanakuficha. Halafu wanafika kwenu. Wanawadanganya watu kuwa mwenzetu ameuliwa na tembo. Wakati huo wewe uliyeua wanakuwa wameshakuvua nguo. Halafu wanawapa zile nguo ndugu zako, wanaanza kulia. Halafu wanawanyamazisha. Wanachukua zile nguo zako wanakuletea huko ulikojificha. Halafu wanakuchukua mpaka kwenu. Wanaimba kawimbo ka “bhujeghe” (uwindaji). Kwa kufanya hivyo ndiyo wanakutoa kile kivuli cha yule tembo uliyeua. Halafu utakapokuwa umekusanya fedha ndipo utakapowaalika wawindaji, wakutengenezee “bhujeghe” wa yule tembo. Hapo ndipo unakuwa mwindaji mwenzao. Meno yake yule tembo unayapeleka kwa mtemi. Kisha mtemi anakupa bunduki.
Kwa upande wa simba, tunakuwa tunaogopa kumuua. Kwa kuwa ni mkali. Kama ukiwa porini unawinda wanyama wengine wapole halafu anakushtukiza. Hapo ujue hakuna ufundi mwingine. Ni kumpiga. Kama ukimuua unamkata kichwa, kucha na ngozi yake, kisha unapeleka kwa mtemi. Na yeye mtemi anakupa kitu chochote. Chui naye ni hivyo hivyo kama simba. Hao wanyama ambao nimemaliza kuwazungumzia ndiyo wanyama wa porini wenye sifa katika Kabende. Ndiyo wanyama kwa upande wa watemi na wawindaji wa humu Kabende.
Sasa nakuja kwa upande wa wanyama wapole. Nao wapo wengi kama nikiwataja wote nitatumia usiku kucha. Niseme wachache. Pana nyati, huyo nyati wawindaji wanamuita “Tenga matako kwenye sifunfwe,” kwa kuwa anawakimbiza. Ni mnyama mzuri sana ila ana uchungu ukimla. Kuna pofu, naye ana mapepo. Ili kumpiga inabidi uwe mwindaji mwenye madawa sana. Naye ni mnyama mzuri kumla. Hawa wanyama wengine waliobaki wenyewe hawana mapepo, ila kama ukimuua mnyama mkubwa usiyeweza kumbeba peke yako humo porini inabidi uache umemzindika. Halafu ukaite watu waje wakusaidie kumbeba. Kama ukiacha bila kumzindika ukirudi huwezi kumkuta hapo. Utakuta mburuzo tu. Ameshaliwa.
Wawindaji wa humu Kabende wengi ni Wabende. Sisi Wabende tuna desturi zetu. Kitu cha kuzingatia kwa mwindaji ni kujua kukwepa upepo wakati anamnyemelea mnyama ili apate kumsogelea. Bila hivyo huwezi kumpiga.
Wanyama wanaoliwa inategemea na sehemu. Kwa kuwa sisi Wabende tunatoka sehemu (nchi) mbalimbali, hivyo wanyama kama pundamilia, twiga, kanga na mbawala hawaliwi na Wagwe (Watu wa Bugwe: Kabende-Kaskazini). Ni mwiko kwao.
Wagalaba (Watu wa Bugalaba) nao kula chura ndiyo mwiko wao. Na wengine hivyo hivyo, mpaka nchi zote za Kabende ziishe. Hapa naona nimemaliza. Haviwezi kuisha vyote kusemwa.

Bbhahiighi / Wawindaji



Maghambo mahya /Msamiati

-bheeta -nyemelea
bhufundi ujuzi
fikaafika sehemu mbalimbali
-funkila -leta mkosi, -zuru
-fuula -vua
haaho heefo hapo chini
-hosya -poozesha
-humbusya -nyamazisha
iisenga, masenga pori, mapori
-kaatika -alika
-kobhola -weza, -shinda
-komenkanyia -kusanya
-legha musagha -kwepa upepo ili wanyama wasikusikie harufu
-lemba -danganya
-lomba -ambia
mpija fedha
mpunda sifa
mubheebhe, mibheebhe maruerue, shauku
mubhwibhwi mburuzo
Mughwe, Bhaghwe mtu/watu wa “Bhughwe (Bugwe)”
mukuli kivuli kinachotokea kwa kile kitu ulichoua
mulambo, milambo mzoga, mizoga
Mutangala mganga anayejua madawa
ngooho bunduki
nsala kucha
-sanga -kuta
-seeha -somba
sibhambila, fibhambila uvimbe wa tumbo la mzoga
sifunfwe, fifunfwe aina ya mti
-silika -zindika
-sonsya -toa zawadi kwa mtu mkubwa
-teleka matako -tenga matako
-tipukanyia -shtukiza
-tubhula -toboa
-tunduula -tibia kwa kutoa mkosi au kitu kibaya mwilini
 


Nsoko / Sokwe-mtu
 
Liibhugha / Mrarusanda
Nsofu / Tembo
Tutwitwi / Jiwe-mkunguru
 


Masiina ghaa manywele kuKabhende /Majina ya wanyama wa Kabhende

 
iibhalabhala kanu-mondo ngili ngiri
iibhinga mbwa-mwitu ngufu kiboko
iijanda tumbili, ngedere nguje nyani
iikala nguchiro ngulubhe nguruwe-pori
iitana fisi ngwe chui
kakinda mbuzi-mawe nimba pofu
kakisi kongoni nkima kima
kalulu sungura nkonsi konzi
kambulunga digidigi mwekundu nkolongo korongo
kamung’anya komba nkonda fisi-maji
kape digidigi mweusi nkumpa kuro
kafuupe popo nsensi ndezi
kasya nsya nsimba simba
katyentye kitwitwi nsobhe nzobe
katwitwi jiwe-mkunguru nsofu tembo
libhugha mrarusanda nsoko sokwe-mtu
likijanga fungo nsuuja mbawala
limbwe mbweha nswala swala
linkakakubhona kakakuona ntandala tandala
mbeegha pundamilia ntwigha twiga
mbogho nyati nungwa nungunungu
monge nyamera nyagha mhanga
mpalapala palahala sibhuli nyegere
mpimbi pimbi simbulwi kimburu

Copyright 2016 (c) Yuko ABE, All rights reserved.